Soko la jumapili lafufuka kwa mara nyengine  tena Zanzibar mara baada ya kufa kwa miaka kadhaa sasa Soko la jumapili lafufuka kwa mara nyengine tena Zanzibar mara baada ya kufa kwa miaka kadhaa sasa

Wajasiri amali walioanzisha soko la Jumapili wametakiwa kuhakikisha kwamba azma yao waliyoibuni na kuianzisha wanaendelea kuifanyia kazi na ...

Read more »
21:59

Makamo wa Pili atoa mkono wapole Tumbe-kisiwani Pemba Makamo wa Pili atoa mkono wapole Tumbe-kisiwani Pemba

Wananchi wa Kijiji cha Tumbe kiliyomo ndani ya Wilaya ya Micheweni Mkoa Kaskazini Pemba wametakiwa kuwa na subra katika kipindi hichi kigumu...

Read more »
21:55

Masoko mazuri kwa wavuvi ni chanzo cha kuinui uchumi wa nchi Masoko mazuri kwa wavuvi ni chanzo cha kuinui uchumi wa nchi

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi amesema hatua za Serikali za ujenzi wa Masoko katika maeneo tofauti Nchini imelenga ...

Read more »
21:51

Ni jumba maarufu lijulikanalo kwa jina la JUMBA LA DHAHABU ambalo lipo katika mwambao wa bahari ya Bagamoyo, muonekano wake halina tofauti sana na zile NGOME ambazo zilikuwa zikutumika wakati wa Ukolini kwenye bara hili la Afrika ya Mashariki Ni jumba maarufu lijulikanalo kwa jina la JUMBA LA DHAHABU ambalo lipo katika mwambao wa bahari ya Bagamoyo, muonekano wake halina tofauti sana na zile NGOME ambazo zilikuwa zikutumika wakati wa Ukolini kwenye bara hili la Afrika ya Mashariki

 Hii ni sehemu ya mbele ya jumba hili ambalo linasemkana pia limewahi kuwa jela hapo awali  Hii ni sehemu ya nyuma kama ambavyo zilivyo ngo...

Read more »
22:54

Elimu kwa maisha bora Zanzibar Elimu kwa maisha bora Zanzibar

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi amewatahadharisha Vijana kwamba huu si wakati wa mchezo katika suala zima la kujitaf...

Read more »
22:48

Uchunguzi wa Kiafya katika nchi za Afrika ya Mashariki ni tatizo linalowasumbua watumishi wengi wa nchi wanachama Uchunguzi wa Kiafya katika nchi za Afrika ya Mashariki ni tatizo linalowasumbua watumishi wengi wa nchi wanachama

Ukosefu wa uchunguzi wa Kiafya kwa Wafanyakazi walio wengi katika Taasisi za umma na hata zile za kibinafsi umekuwa ukiendelea kulaumiwa kwa...

Read more »
22:18

Ipo haja kwa Serikali ya Jamuhuri ya Muungano Tanzania kwa kuweza kuitunza na kuifanyia marekebisho Bandari kongwe ya Bagamoyo kuliko kuiwacha kama hivi ilivyo hivi sasa Ipo haja kwa Serikali ya Jamuhuri ya Muungano Tanzania kwa kuweza kuitunza na kuifanyia marekebisho Bandari kongwe ya Bagamoyo kuliko kuiwacha kama hivi ilivyo hivi sasa

Read more »
22:14

Taifa lajenga matumani mapya baada ya taasisi nyingi kujitokea katika kufanya utafiti Taifa lajenga matumani mapya baada ya taasisi nyingi kujitokea katika kufanya utafiti

Taifa limejenga matumaini makubwa ya kupata mafanikio kufuatia Taasisi mbali mbali Nchini kujihusisha na masuala ya Utafiti katika utekeleza...

Read more »
11:27

Serikali imejiandaa vyema katika upokeaji maoni juu ya mabdaliko ya katiba Serikali imejiandaa vyema katika upokeaji maoni juu ya mabdaliko ya katiba

Taifa Limelazimika kujiandaa kutoa fursa kwa Wananchi kutoa Maoni yao kupitia Mfumo wa Tume itakayoundwa na Rais wa Jamuhuri ili kuwapa nafa...

Read more »
21:41

Tanzania yashauriwa kuwa na mikakatia imara kati yake na Oman Tanzania yashauriwa kuwa na mikakatia imara kati yake na Oman

Upo umuhimu wa kuwekwa mikakati ya kuwepo kwa Kamati ya pamoja kati ya Tanzania na Oman kwa lengo la kuimarisha Ushirikiano wa muida mrefu w...

Read more »
21:33

Kila mtu anahaki ya kutoa moni kwa mujibu wa sheria Kila mtu anahaki ya kutoa moni kwa mujibu wa sheria

Mchakato wa kupata katiba Mpya ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania utakamilika vyema na kufanikiwa endapo Wananchi wa Tanzania wenye kufikia...

Read more »
21:26

Makamo wa Pili wa Rais Balozi Seif Ali Iddi wakati wa kuuaga mwaka 2011 Makamo wa Pili wa Rais Balozi Seif Ali Iddi wakati wa kuuaga mwaka 2011
Read more »
21:21

Ujenzi unaoendelea ndani ya mji Mkongwe Zanzibar jee unafuata taratibu au ni tamaa ya fedha tu? Ujenzi unaoendelea ndani ya mji Mkongwe Zanzibar jee unafuata taratibu au ni tamaa ya fedha tu?
Read more »
21:13

Wafanyakazi nchini wameombwa kusameheana katika kipindi hiki cha mwaka mpya Wafanyakazi nchini wameombwa kusameheana katika kipindi hiki cha mwaka mpya

Watendaji wa Sekta za Umma na hata zile za Kibinafsi wameombwa kusameheana endapo kuna makosa yaliyojitokeza ndani ya mwaka 2011 ili kujipan...

Read more »
21:08

Ni dhahiri kwamba jamii ya Watanzania walio wengi si watunzani bali ni wabomowaji tu, hii ni jiwe ambalo limetengenezwa kwa gharama kuwa na mfadhili ambali linaitambulisha bustani ya Forodhani Zanzibar lakini Mamlaka husika hazijaona umuhimu wa kuyatunza mawe haya bali ni kuyatupa kama ambavyo yanaonekana katika picha badala ya kuwekwa katika sehemu stahiki ya busatani ya Forodhani Ni dhahiri kwamba jamii ya Watanzania walio wengi si watunzani bali ni wabomowaji tu, hii ni jiwe ambalo limetengenezwa kwa gharama kuwa na mfadhili ambali linaitambulisha bustani ya Forodhani Zanzibar lakini Mamlaka husika hazijaona umuhimu wa kuyatunza mawe haya bali ni kuyatupa kama ambavyo yanaonekana katika picha badala ya kuwekwa katika sehemu stahiki ya busatani ya Forodhani

Read more »
22:28

SMZ inawaza kutafuta wataalamu wa kushona toka nje ya nchi SMZ inawaza kutafuta wataalamu wa kushona toka nje ya nchi

Serikali inafikiria kuagiza kutoka nje ya Nchi Wataalamu wa ushonaji wa nguo wenye uwezo wa kiwango cha juu kwa lengo la kufikia kuwa na Was...

Read more »
22:20

Jumuiya ya Uhifadhi ya Mji Mkongwe Zanzibar kwa kushirikiriana na Wanafunzi wa Skuli ya Sekondari ya Kiponda wakifanya usafi katika eneo la fukwe ya Forodhani Zanzibar Jumuiya ya Uhifadhi ya Mji Mkongwe Zanzibar kwa kushirikiriana na Wanafunzi wa Skuli ya Sekondari ya Kiponda wakifanya usafi katika eneo la fukwe ya Forodhani Zanzibar
Read more »
22:38

SMZ yaahidi ushirikiano zaidi kwa Ubalozi mdogo wa Oman uliyopo Zanzibar SMZ yaahidi ushirikiano zaidi kwa Ubalozi mdogo wa Oman uliyopo Zanzibar

Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar itaendelea kutoa ushirikiano zaidi kwa Balozi Mdogo Mpya wa Oman aliyepo hapa Zanzibar ili kuona uhusiano ...

Read more »
22:57

Nguvu za CCM zitaendelea kuimarika Nguvu za CCM zitaendelea kuimarika

Nguvu za Chama Cha Mapinduzi zitaendelea kuimarika zaidi iwapo kasi ya Umoja wa Vijana wa Chama hicho itakuwa imara wakati wote wa utekeleza...

Read more »
22:48

Mipango mizuri inaweza kuwasaidi kuwanyanyua kiuchumi wafanyabiashara wadogo wadogo Mipango mizuri inaweza kuwasaidi kuwanyanyua kiuchumi wafanyabiashara wadogo wadogo

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi amesema Mipango mizuri ya kuwajengea uwezo wa uzalishaji wajasiriamali wadogo wadogo...

Read more »
22:24

Serikali yatakiwa kuwa makini kwa walioathirika katika ujenzi wa uwanja wa ndege Zanzibar Serikali yatakiwa kuwa makini kwa walioathirika katika ujenzi wa uwanja wa ndege Zanzibar

Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imeombwa kuhakikisha kwamba utaratibu muafaka usioleta machungu unazingatiwa ili kuwapa faraja Wananchi wa...

Read more »
21:34

Products from tobacco cause cancers where as products from bees harvesting is anti-cancer Products from tobacco cause cancers where as products from bees harvesting is anti-cancer

Dr Ali Mzige Tobacco contains a variety of different noxious substances, but the dangers of three of them are particularly important. Nico...

Read more »
21:26

Kilimanjaro na muonekano wake hivi sasa Kilimanjaro na muonekano wake hivi sasa

hii ndio hali halisi ya mlima Kilimanjaro ulivyo kwa sasa, ingawaje ni kivutio kikubwa wa watalii waingio katika nchi kama Tanzania na Kenya...

Read more »
23:28

Usafiri wa anga Usafiri wa anga

Rubani wa ndege ya Jet link ifanyayo safari zake kutoka Nairobi -Dar wakiwa kazini

Read more »
23:23

Balozi Seif wakati alipotembelea uwanja wa ndege wa Zanzibar kukakuguwa eneo la uwanja lilovamiwa na ujenzi wa nyumba Balozi Seif wakati alipotembelea uwanja wa ndege wa Zanzibar kukakuguwa eneo la uwanja lilovamiwa na ujenzi wa nyumba
Read more »
21:52

Wizara ya Ardhi, Makaazi, Maji na Nishati yatarajiwa kuwagawa viwanja Wizara ya Ardhi, Makaazi, Maji na Nishati yatarajiwa kuwagawa viwanja

Wakati Serikali inaendelea kufanya tathmini ya nyumba na mali zilizomo ndani ya eneo jipya kwa ajili ya utanuzi wa Uwanja wa Ndege wa Zanzib...

Read more »
21:37

Jamii yatakiwa kuwa na tahadhari kutokana na mvua zinazoendela kunyesha nchini Jamii yatakiwa kuwa na tahadhari kutokana na mvua zinazoendela kunyesha nchini

Jamii imekumbushwa kuwa na tahadhari kufuatia mvua kubwa zinazoendelea kunyesha nchini ambazo tayari zimeshaleta athari na kupoteza maisha y...

Read more »
22:41

Balozi akutana na watendaji wa Shirika la Utangazi Zanzibar (TVZ) Balozi akutana na watendaji wa Shirika la Utangazi Zanzibar (TVZ)
Read more »
22:38

Balozi Seif atembelea ZBC (TVZ) Balozi Seif atembelea ZBC (TVZ)

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi amekumbusha kwamba mafanikio ya kazi popote pale hupatikana na kuongezeka iwapo sual...

Read more »
22:01

MAKAMU WA PILI WA  RAIS WA ZANZIBAR BALOZI SEIF AKIZUNGUMZA NA BALOZI WA INDIA NCHINI TANZANIA BWANA K.V. BHAGIRATH OFISINI KWAKE VUGA MJINI ZANZIBAR. BALOZI BHAGIRATH ALIFIKA  KWA BALOZI SEIF KUAGA BAADA YA KUMALIZA MUDA WAKE WA UTUMISHI NCHINI TANZANIA. MAKAMU WA PILI WA RAIS WA ZANZIBAR BALOZI SEIF AKIZUNGUMZA NA BALOZI WA INDIA NCHINI TANZANIA BWANA K.V. BHAGIRATH OFISINI KWAKE VUGA MJINI ZANZIBAR. BALOZI BHAGIRATH ALIFIKA KWA BALOZI SEIF KUAGA BAADA YA KUMALIZA MUDA WAKE WA UTUMISHI NCHINI TANZANIA.
Read more »
22:06
 
Top