Chama cha Mapinduzi kitaendelea kuheshimika ndani ya Jamii endapo Viongozi wanaokisimamia kuanzia ngazi ya Shina hadi Taifa watatekeleza vye...
Komamanga ni tunda muhimu kwa afya ya jamii ila watu wengi hawajuwi
inasemekana kwamba tunda hili kwa kiasi kikubwa linauwezo wa kuzuwiya ungonjwa wa kansa ya matiti kwa kina mama, ni tunda zuri na ni adimu ...
Usarifu wa matumizi ya sarafu
Hizi ni sarafu za mataifa mbali mbali ambazo zimekuwa zikisarafiwa kwa ajili ya matumizi ya mapambo ambayo hutumika zaidi kwa ajina mama kuw...
China yaendeleza ushirikiano na SMZ
Jamuhuri ya Watu wa China itaendelea kuwa Mshirika mkubwa wa Zanzibar katika harakati za Uimarishaji wa Maendeleo ya Kiuchumi Kibiashara, Mi...
Hii ndio sehemu iliyokuwa imeweka maskani ya chuo cha waandishi wa habari cha DSJ na sasa kimehama Zanzibar ila mabaki yake yamebakia katika viunga vya mji wa Zanzibar
ACHA TUPOTEZE MUDA
Ukauzi wa shamba la miwa
Balozi Seif Ali Iddi ambaye ni Makamo wa Pili wa Rais Zanzibar akiwa katika ziara ya ukaguzi wa shamba la miwa lilovamiwa na kulimwa mihogo
Serikali ya Zanzibar ipo tayari kupokea mawazo na ushauri wa wataalam
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar itakuwa tayari wakati wote kupokea mawazo yatakayotolewa na Wataalamu wa Mpango wa Nchi za Kiafrika kujita...
PRESS RELEASE
African countries send representatives to the summit of Mount Kilimanjaro as part of the UNiTE campaign to End Violence against Women and Gi...
Wapanda pikipiki watakiwa kuwa na busara
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM Balozi Seif Ali Iddi amewataka Wanachama wa Umoja wa Wapanda Mapiki Piki wa CCM kufa...
Jamii yapaswa kufahamu athari za kimazingira
Viongozi na Watendaji wa Serikali wanapaswa kuendelea kushajiisha Jamii ili kuepuka athari za Mazingira zinazotokana na Baadhi ya Watu kuwa ...
Otieno aitwa tena kwenye kituo cha polisi nchini Kenya
Louis Otieno, a former Kenyan TV personality is set to be recalled by the police next week. This is for more questioning by detectives inves...
Mpiga picha wa NTV apata ajali LAMU akiwa kazi wakati wa kurikodi sherehe na hutuba ya LAPSSET
Karim-rajan akiwa kazini
P R E S S R E L E A S E
REMARKS BY THE UN SECRETARY-GENERAL AT THE NOON PRESS BRIEFING - UNHQ SG: Thank you very much. Good afternoon, Ladies and Gentlemen. You ma...
Inaoenekana bado mfumo waserikali ya umoja wa kitaifa haujafahamika vyema kwa jamii na kwa baadhi ya viongozi
Mfumo wa Serikali ya Umoja wa Kitaifa unaoendelea kufuatwa Zanzibar hivi sasa unafaa kuigwa na Mataifa mengine Duniani katika harakati...
Balozi Seif ataka ujenzi wa hotel Nungwi kusimamishwa
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi ameagiza kusitishwa mara moja kwa shughuli zozote za ujenzi wa Maradi wa Hoteli k...
Sudan yaahidi kuendeleza ushirikiano na Zanzibar
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi amesema Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar itahakikisha kwamba uhusiano kati yake...
Msumbuji yataka vikao vya pamoja kati yake na Tanzania kurudishwa
Msumbiji imeiomba Tanzania kufikiria uwamuzi wa kurejeshwa tena utaratibu wa kuwa na vikao vya pamoja kati ya pande hizo mbili ambao ulileng...
Vyama vya wanafanyakazi vina haki ya kufanya kazi zake kikamilifu
Vyama vya Wafanyakazi vinapaswa kupatiwa haki na fursa zote zinazostahiki katika kuruhusiwa kufanya k...
Serikali yatoa mkono wa poleni kwenye kijiji cha Mchekeni -Kiwengwa
Serikali itaangalia hali halisi ya namna gani itakavyotoa maamuzi muwafaka kuhusiana na Wananchi wan...
Je kuna utata katika hili?
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI Nimelazimika leo Jumamosi, tarehe 18 Februari, 2012 kutoa taarifa hii kwa vyombo vya habari kufuatia mkutano ...
Wafadhili watakiwa kuongeza nguvu za kujenga madarasa zaidi ili kwa ajili ya kuimarisha Elimu Zanzibar
Ipo haja kwa Washirika na Wafadhili wa Maendeleo katika nyanja za Elimu ya Dini ndani na nje ya Nchi kufikiria zaidi wazo la kuongeza nguvu ...
Umuhimu wa masomo kwa watoto
Wazazi wanapaswa kujenga utaratibu wa kufuatilia nyendo za watoto wao kimasomo Maskulini kwa lengo la kukabili vyema Changamoto wanazopamban...
Wazazi watakiwa kuwapeleka watoto wao mapema katika vituo vya maandalizi
Wazazi na walezi Nchini wamehimizwa kujenga tabia ya kuwapeleka watoto wao katika Vituo vya Maandalizi kwa lengo la kuwajengea mazingira bor...
Hali ya amani na utulivu ni nguzo bora ya maendeleo Zanzibar
Wananchi walio wengi wa Zanzibar wanaendelea kujivunia mwamvuli wa baraka ya hali nzuri ya Kisiasa Zanzibar ambayo wako tayari kuiimarisha i...