Watanzania waongezewa nafasi zaidi za masomo India Watanzania waongezewa nafasi zaidi za masomo India

India inakusudia kuongeza nafasi za masomo ya elimu ya juu kwa Wanafunzi wa Tanzania katika kipindi kijacho cha mwaka 2012 katika fani ya ki...

Read more »
21:55

Serikali ya Zanzibar yaahidi kukifanyia marekebisho kiwanda cha uchapaji cha serikali kilichopo Mkele Zanzibar Serikali ya Zanzibar yaahidi kukifanyia marekebisho kiwanda cha uchapaji cha serikali kilichopo Mkele Zanzibar

Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar inakusudia kukipatia vifaa na Mitambo ya kisasa kiwanda cha Idara ya upigaji chapa cha Serikali ili kiteke...

Read more »
23:31

Ukatili dhidi ya wanawake na watoto Zanzibar Ukatili dhidi ya wanawake na watoto Zanzibar

Kasi ya vitendo vya ukatili dhidi ya wanawake na watoto inayoonekana kuendelea kushamiri nchini inatishia amani ndani ya jamii na hapana bud...

Read more »
23:24

Chuo cha Mafunzo Zanzibar chashauriwa kuwa na mafunzo ya kilimo kwa vijana ili yaweze kuwasaidia katika maisha yao ya baadae Chuo cha Mafunzo Zanzibar chashauriwa kuwa na mafunzo ya kilimo kwa vijana ili yaweze kuwasaidia katika maisha yao ya baadae

Uongozi wa Idara Maalum ya Chuo cha Mafunzo Zanzibar umeshauriwa kuandaa utaatibu maalum wa kutoa mafunzo ya Kilimo kwa Vijana kwa lengo la ...

Read more »
18:22

Miaka 50 ya uhuru wa Tanganyika Miaka 50 ya uhuru wa Tanganyika
Read more »
17:57

UN Secretary-General's UN Secretary-General's

SG: Good morning, ladies and gentlemen. It is a great pleasure to meet you. And I look forward to seeing you later this evening during the a...

Read more »
17:40

Government of Sweden provides $5.15 million to United Nations Tanzania Government of Sweden provides $5.15 million to United Nations Tanzania

Sweden’s Deputy Head of Mission and Head of Development Cooperation Division Maria van Berlekom, and the United Nations Resident Coordinator...

Read more »
22:22

Waislamu watakiwa wawe waadilifu Waislamu watakiwa wawe waadilifu

Waumini wa Dini ya Kiislamu wameendelea kukumbushwa kutekeleza majukumu yao kwa uadilifu, hekima, busara na uaminifu ili kufikia kilele cha ...

Read more »
22:01

Uchaguzi wa viongozi wapya wa Arterial  Network uliofanyika Nairobi tarehe 07.12.2011 Uchaguzi wa viongozi wapya wa Arterial Network uliofanyika Nairobi tarehe 07.12.2011

Read more »
11:51

Migrants’ voices must be heard in today’s all too often biased, polarized and negative debate on migration, says IOM’s World Migration Report 2011: Communicating Effectively about Migration. Migrants’ voices must be heard in today’s all too often biased, polarized and negative debate on migration, says IOM’s World Migration Report 2011: Communicating Effectively about Migration.

The report states that although we live in an era of the greatest human mobility in recorded history, with greater acknowledgement that migr...

Read more »
22:40

Mkutano wa Arterial Network wafanyika Nairobi Mkutano wa Arterial Network wafanyika Nairobi

Read more »
09:08

Mipango imara ya uwekezaji yaimarishwa Zanzibar Mipango imara ya uwekezaji yaimarishwa Zanzibar

Azma ya Serikali ya Kuunda Wizara inayosimamia uwezeshaji ni kumfanya Mwananchi ajitegemee kufanyakazi kwa kutumia nguvu kazi badala ya kuwa...

Read more »
08:58

Timu za mpira Kitope zapata jezi Timu za mpira Kitope zapata jezi

Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar haipendelei kuona masuala ya Kidini yanaingizwa ndani ya fani na Michezo . Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzi...

Read more »
08:54

Khoja Shia ithna-ashari yatoa msaada Kitope Khoja Shia ithna-ashari yatoa msaada Kitope

Mbunge wa Jimbo la Kitope Balozi Seif Ali Iddi amelipongeza Shirikisho la Kimataifa la Jumuiya ya khoja Shia ithna-asheri kwa juhudi zake za...

Read more »
08:51

Kilele cha tamsha la 100% Pemba Kilele cha tamsha la 100% Pemba

Na Haji Nassor Wananchi wa Kisiwa cha  Pemba walijumika kwa pamoja na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad ...

Read more »
08:44

Wizara ya mambo ya Nje ihakikishe sara ya kuimarisha uchumi wa Tanzania Wizara ya mambo ya Nje ihakikishe sara ya kuimarisha uchumi wa Tanzania

Kazi kubwa inayoikabili Wizara ya Mambo ya Nchi za Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Tanzania ni kuhakikisha ile sera ya Mambo ya nje ya kuel...

Read more »
08:41

Unyanyapa ndio chanzo cha kupunguza maambukizi ya VVU Unyanyapa ndio chanzo cha kupunguza maambukizi ya VVU

Kuendelea kuwepo kwa unyanyapaa ndani ya Jamii kumeelezwa kupunguza kasi ya Taifa na Taasisi zake za kupambana na ukimwi Kitaifa na Kimataif...

Read more »
21:13

Tangazo zuri lakini je utekelezaji upo? Tangazo zuri lakini je utekelezaji upo?

ni kitu cha busara kwa uongozi wa AZAM MARINE na FAST FERRIES MATAWI YA PEMBA, kwa kutoa tangazo hili lenye muelekeo wa kuwaheshimu abiria n...

Read more »
22:55

Ni tunda zuri lakini? Ni tunda zuri lakini?

ki mtazamo ni tunda zuri sana kama ambavyo linaonekana katika picha, lakini utakapojaribu kutaka kilila litakushinda kutokana na wadudu (fun...

Read more »
22:40

Usafiri wetu bado si salama Usafiri wetu bado si salama

 Ingawaje chombo kizuri kwa nje, lakini uingia ndani ya boti hii haina tofauti na tanuri ya kuvumbikia mbata, joto kali litokanalo na ukosef...

Read more »
22:36

Ripoti ya Mv Spice Islanders itawasilishwa hivi karibuni Ripoti ya Mv Spice Islanders itawasilishwa hivi karibuni

Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar inatarajia kupokea Ripoti Maalum siku chache zijazo kutoka kwa Tume iliyoundwa kuchunguzwa chanzo cha kuz...

Read more »
06:47
 
Top