ZECO yatakiwa kuwa makini: Balozi ZECO yatakiwa kuwa makini: Balozi

Meneja Mkuu wa Shirika la Umeme Zanzibar Ndugu Hassan Ali akimpatia maelezo Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif wakati alip...

Read more »
16:57

Maalim Seif akutana na tume ya marekebisho ya katiba Maalim Seif akutana na tume ya marekebisho ya katiba

Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad leo amekutana na Tume ya Mabadiliko ya Katiba na kutoa maoni yake binafsi ku...

Read more »
16:45

SMZ inawajali wazee SMZ inawajali wazee

Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kamwe haitakuwa na mjadala katika jukumu lake la kuendelea kuwatunza wazee wasiojiweza wanaosihi katik...

Read more »
18:03

Ni waakati wa maandalizi ya sherehe za mapinduzi Ni waakati wa maandalizi ya sherehe za mapinduzi

Wakati harakati za shamra shamra za maadhimisho ya kutimia miaka 49 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar ya Mwaka 1964 zikikaribia kufikia ...

Read more »
17:50

SMZ yaweka mkazo kwenye uchumi: Maalim Seif SMZ yaweka mkazo kwenye uchumi: Maalim Seif

Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad amesema katika jitihada za kukuza uchumi wa Taifa, serikali inaweka mkazo kat...

Read more »
22:40

Hii ni hali halisi ya eneo la ndani ya ukumbi maarufu wa mikutano uliopo chachani chake chake Pemba ambao asili yake ukumbi huo ulikuwa jingo la sinema, kama ambavyo ulivyoshuhudiwa na Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi. Picha na Hassan Issa OMPR Hii ni hali halisi ya eneo la ndani ya ukumbi maarufu wa mikutano uliopo chachani chake chake Pemba ambao asili yake ukumbi huo ulikuwa jingo la sinema, kama ambavyo ulivyoshuhudiwa na Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi. Picha na Hassan Issa OMPR

Read more »
21:25

Balozi Seif asisitiza utunza wa mzingira Balozi Seif asisitiza utunza wa mzingira

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi alisema ili huduma za maji safi na salama ziendelee kudumu kizazi cha sasa kinapa...

Read more »
21:08

Amani haipatikani bila ya kuwepo kwa haki Amani haipatikani bila ya kuwepo kwa haki

Chama Cha Wananchi CUF kimesema kuwa amani ya kudumu haiwezi kupatikana katika nchi yoyote bila ya kuwepo haki na usawa katika jamii. Kati...

Read more »
09:51

SMZ yazuwiya hati za umiliki wa ardhi SMZ yazuwiya hati za umiliki wa ardhi

Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imezuia utolewaji wa Hati za umiliki wa maeneo ya Ardhi kwa ajili ya Kilimo kwa wakulima wa Vijiji vya ...

Read more »
22:20

Maalim Seifataka tahadhari ichukuliwa kwa watoto Maalim Seifataka tahadhari ichukuliwa kwa watoto

Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad ametaka tahadhari zaidi zichukuliwe katika kuwakuza watoto kimaadili, ili ku...

Read more »
22:15

Balozi Seif asaini kitabu cha maombolezi Balozi Seif asaini kitabu cha maombolezi

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi alikuwa miongoni mwa Viongozi wa Serikali,Mashirika na Taasisi mbali mbali za Kimat...

Read more »
19:57

Balozi Seif akutana na Brigedia General Othman Balozi Seif akutana na Brigedia General Othman

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi amesema kuendelea kuwepo kwa amani Nchini ni jambo la msingi linalowawezesha ...

Read more »
19:50

Maalim Seif azuwiya matumizi ya makumbusho mara baada ya kubomoka Maalim Seif azuwiya matumizi ya makumbusho mara baada ya kubomoka

Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad ameuagiza uongozi wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Utalii na Mi...

Read more »
21:44

Mashindano ya riadha yafana Mashindano ya riadha yafana

B aada ya ukimya mrefu na Jamii kulemaa katika kuangalia mchezo wa kandanda ndani ya Viunga vya uwanja wa Amani Mjini Zanzibar sasa mambo ...

Read more »
21:39

Pole Mhe.Hamadi kwa msiba Pole Mhe.Hamadi kwa msiba

Viongozi mbali mbali wa vyama vya siasa na serikali wameshiriki katika mazishi ya bibi Kisa Mohd ambaye ni mke wa Mbunge wa ...

Read more »
21:57

MISRI imejitahidi kurudisha amani Mashariki ya Kati MISRI imejitahidi kurudisha amani Mashariki ya Kati

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akiangalia maonyesho ya picha katika maadhimisho ya siku ya Kimataifa ya mshikam...

Read more »
21:11

Maalim Seif ataka bodi ya mikopo kuacha muhali Maalim Seif ataka bodi ya mikopo kuacha muhali

Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad amewataka watendaji wa Bodi ya Mikopo ya Elimu ya juu Zanzibar kuacha muhali...

Read more »
23:15

UTURUKI kuipendelea Zanzibar UTURUKI kuipendelea Zanzibar

Uturuki inakusudia kutoa upendeleo Maalum kwa Zanzibar ili kusaidia Taaluma na baadhi ya Uwezeshaji katika Sekta za Utalii na Biashara l...

Read more »
23:11

SMZ yaitupia lawama SMT SMZ yaitupia lawama SMT

Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar imeitupia lawama Wizara ya Elimu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa madai ya kutoishiriki...

Read more »
23:08

Ubakaji ni Unyama Ubakaji ni Unyama

Neno ubakaji kati upwa huu wa washali ni neon lenye maana pana kijamii na kisheria, ambapo jamii wanadhani kwamba matendo ya ubakaji ni...

Read more »
12:00
 
Top