WAJUMBE WA MKUTANO MKUU WA TATU WA VIONGOZI NA WATAALAMU  WANAOSHUGHULIKIA KUONDOSHA MIGOGORO BARANI AFRIKA WAJUMBE WA MKUTANO MKUU WA TATU WA VIONGOZI NA WATAALAMU WANAOSHUGHULIKIA KUONDOSHA MIGOGORO BARANI AFRIKA

 MAKAMU WA PILI WA RAIS WA ZANZIBAR BALOZI SEIF ALI IDDI AKIONGOZWA NA VIONGOZI WA TAASISI YA MWALIMU NYERERE WAKATI AKIELEKEA UKUMBI WA MKU...

Read more »
15:37

Nchi Yetu na Maa Media Center Nchi Yetu na Maa Media Center

Maa Media Center P.O. BOX 68877, Dar es Salaam-Tanzania Tel: +255 222 461 685 Mob: +255 787 575 918 E-mail: info@maamedia.com Website: http...

Read more »
15:19

Viongozi wa  Singida Press Club Viongozi wa Singida Press Club
Read more »
15:04

Bara la Afrika limefanikiwa kupunguza migogoro inayowakabili kwa kiasi kikubwa Bara la Afrika limefanikiwa kupunguza migogoro inayowakabili kwa kiasi kikubwa

MAKAMU WA PILI WA RAIS WA ZANZIBAR BALOZI SEIF ALI IDDI AKIFUNGUA MKUTANO WA TATU WA VIONGOZI NA WATAALAMU WANAOSHUHULIKIA KUONDOSHA MIGOGOR...

Read more »
15:02

Kisonge yafunikwa na washabiki wa MUZIKI Kisonge yafunikwa na washabiki wa MUZIKI

MAONESHO ya sanaa ya kuadhimisha maridhiano ya kisiasa na kijamii Zanzibar, Jumamosi iliyopita yalihamia katika Uwanja wa Kisonge, ambapo vi...

Read more »
00:18

Je hiki ni kutuo cha biashara au abiria? Je hiki ni kutuo cha biashara au abiria?
Read more »
23:27

Viumbe vya baharini Viumbe vya baharini

Ipo haja kwa wavuvi na taasisi zanazohusika na masuala ya bahari kuwa makini katika kuhakisha usafai wa fukwe za bahari husika kwa ajili ya ...

Read more »
23:22

Ipo haja kwa watoto kupewa fursa za kufahia utoto wao Ipo haja kwa watoto kupewa fursa za kufahia utoto wao

kuwapata nafasi watoto kufanya au kupanda vyombo au wanyama wawapendao ni haki yao ya kimsingi na ni haki kila mzazi kulifahamu hili na siyo...

Read more »
23:15

Ujenzi sawa lakini utamalizika lini? Ujenzi sawa lakini utamalizika lini?

Dhana hizi zimewekwa hapa kwa kuzuwiya barabara kwa muda lakini kuwepo kwake hapa je kunasidia nini wakatika barabara haimaliziki?

Read more »
22:29

Maoni ya Mhe.Tundu Antiphas Mughwai Lissu (MB)  kuhusu mabadiliko ya katika ya Tanzania Maoni ya Mhe.Tundu Antiphas Mughwai Lissu (MB) kuhusu mabadiliko ya katika ya Tanzania

MAONI YA MSEMAJI MKUU WA KAMBI RASMI YA UPINZANI BUNGENI, WIZARA YA KATIBA NA SHERIA,  MHESHIMIWA TUNDU A.M. LISSU (MB.) KUHUSU MUSWADA WA S...

Read more »
08:41

Makamo wa Kwanza wa Rais Maalim Seif Sharif Hamad akifungua mkutano wa Sauti za Busara kwenye ukumbi wa Zanzibar Beach Makamo wa Kwanza wa Rais Maalim Seif Sharif Hamad akifungua mkutano wa Sauti za Busara kwenye ukumbi wa Zanzibar Beach
Read more »
08:17

Ndege wa aina ya Korongo wakiwa kwenye baadhi ya viunga vya jiji la Mwanza wakitafuta riski zao Ndege wa aina ya Korongo wakiwa kwenye baadhi ya viunga vya jiji la Mwanza wakitafuta riski zao
Read more »
08:15

Wamachinga sasa wavamia boti za  AZAM Wamachinga sasa wavamia boti za AZAM

Ipo haja ya wahusika katika vyombo vya usafiri wa bahari kuangalia athari za wafanya biashara ndogo ndogo kufanya shughuli zao nje ya bodi, ...

Read more »
08:12

Hivi huu usafiri wa boda boda ni salama kwa utumiaji au ni kutaka kuwahi muda katika shughuli zako tu? uwapi usalama wako? Hivi huu usafiri wa boda boda ni salama kwa utumiaji au ni kutaka kuwahi muda katika shughuli zako tu? uwapi usalama wako?
Read more »
08:03

Inawezekana ni kweli kabisa ikawa ni Farasi wa Chuma lakini, chuma chenyewe kikawa kimeshaanza kuoza, kama ambavyo uchafu huo wa vipande vya mabati na vyuma ambavyo vimo kwenye gari katika jiji la Mwanza, lakini suala la umuhimu ni kujiuliza hizi taka zinapelekwa wapi? na je usalama wa hilo eneo na watu wake ukowapi? Inawezekana ni kweli kabisa ikawa ni Farasi wa Chuma lakini, chuma chenyewe kikawa kimeshaanza kuoza, kama ambavyo uchafu huo wa vipande vya mabati na vyuma ambavyo vimo kwenye gari katika jiji la Mwanza, lakini suala la umuhimu ni kujiuliza hizi taka zinapelekwa wapi? na je usalama wa hilo eneo na watu wake ukowapi?
Read more »
09:57

Hayo ndio maisha mapya ambayo kwa kila mwandamu mwenye akili timamu na mwenye uwezo anataajiwa kuyafikia ila yawe na mafanikiwa mema na sio migogoro, harusi ni jambo muhimu katika maisha ya kila kiumbe chenye akili timamu kama binadamu na si wanyawa au ndege ila kinyume chake iwe ndoana badala ya ndoa, kama ambavyo waliwili hawa walivyofarahi katika siku hii muhimu katika jiji la Mwanza Hayo ndio maisha mapya ambayo kwa kila mwandamu mwenye akili timamu na mwenye uwezo anataajiwa kuyafikia ila yawe na mafanikiwa mema na sio migogoro, harusi ni jambo muhimu katika maisha ya kila kiumbe chenye akili timamu kama binadamu na si wanyawa au ndege ila kinyume chake iwe ndoana badala ya ndoa, kama ambavyo waliwili hawa walivyofarahi katika siku hii muhimu katika jiji la Mwanza
Read more »
09:47

Je Usafiri wetu wa mabasi yaendeyo mikoani ni salama au? Je Usafiri wetu wa mabasi yaendeyo mikoani ni salama au?
Read more »
22:52

Vijana watakiwa wawe makini Vijana watakiwa wawe makini

MAKAMU WA PILI WA RAIS WA ZANZIBAR BALOZI SEIF ALI IDDI   AKIMKABIDHI VIFAA VYA MICHEZO MBUNGE WA VITI MAALUM KUPITIA CHAMA CHA MAPINDUZI MH...

Read more »
21:45

Balozi Seif asema amani itadumi milele Tanzania Balozi Seif asema amani itadumi milele Tanzania

Tanzania itaendelea kuwa ya amani na usalama kufuatia Wananchi wake waliowengi kupenda tabia hiyo licha ya baadhi ya watu wachache kujaribu ...

Read more »
23:05

Viongozi wa Maziwa makuu wanawajibu wakutunza amani na utuluvu kwenye mataifa yao Viongozi wa Maziwa makuu wanawajibu wakutunza amani na utuluvu kwenye mataifa yao

MAKAMU WA PILI WA RAIS WA ZANZIBAR BALOZI SEIF ALI IDDI AKISALIMIANA NA KATIBU MKUU WA MIKUTANO YA KIMATAIFA YA UKANDA WA MAZIWA MAKUU BALOZ...

Read more »
00:01

Jamuhuri ya Watu wa China ni kiungo muhimu katika maendeleo ya Uchumi wa Tanzania Jamuhuri ya Watu wa China ni kiungo muhimu katika maendeleo ya Uchumi wa Tanzania

MAKAMU WA PILI WA RAIS WA ZANZIBAR BALOZI SEIF ALI IDDI AKISALIMIANA NA MJUMBE WA KAMATI YA SIASA NA KAMATI KUU YA CHAMA CHA KIKOMINISTI CH...

Read more »
23:52

Hudama za meli Zanzibar Hudama za meli Zanzibar

Indonesia imeahidi kulifanyia kazi mara moja ombi la Zanzibar la mpango wake wa kuimarisha huduma za usafiri wa kudumu wa meli kubwa za abir...

Read more »
23:14

Taaluma zaidi inahitajika ya kuweza kumlinda mtoto nchini Taaluma zaidi inahitajika ya kuweza kumlinda mtoto nchini

Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar itaendelea kutoa Taaluma kwa Jamii juu ya namna ya kumlinda mototo na majanga yanayotokana na udhalilishwa...

Read more »
23:22
 
Top