Mfuko wa Hifadhi ya Jamii Zanzibar { ZSSF } unatarajia kutumia jumla ya shilingi za Kitanzania Bilioni 13.2 kwa ajili ya ujenzi wa Kiwan...
Channels TV wins best Nigerian TV award for the eighth time
Channels TV is one of Nigeria’s 13 independent, free-to-air broadcasters Channels TV , the award-winning independent Nigerian broadcast...
Yanga yaipigia magoti SMZ
Uongozi wa Klabu ya Yanga ya Jijini Dar es salaam imeiomba Radhi Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar pamoja na Kamati ya Mashindano ya Kom...
MUHTASARI WA HOTUBA YA UFUNGUZI WA SKULI YA SEKONDARI YA MPENDAE, MGENI RASMI MAKAMU WA PILI WA RAIS ZANZIBAR
Mheshimiwa Ali Juma Shamuhuna, Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali, Mheshimiwa Abdullah Mwinyi Khamis, Mkuu wa Mkoa wa Mjini na Magharibi,...
HOTUBA YA MAKAMU WA PILI WA RAIS WA ZANZIBAR, MHE. BALOZI SEIF ALI IDD KATIKA SHEREHE YA UWEKAJI WA JIWE LA MSINGI LA KIWANJA KIPYA CHA KUFURAHISHIA WATOTO CHA ZSSF - UHURU KARIAKOO, ZANZIBAR
Waheshimiwa Mawaziri, Waheshimiwa Wabunge na Wawakilishi, Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa wa Mjini na Magharibi, Makatibu Wakuu wa Wizara mbali mb...
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi afungua rasmi jengo jipya la skuli ya Ghorofa ya Sekondari ya Mpendae
SMZ yaendelea na ujenzi wa maskuli visiwani
Skuli za Msingi na Sekondari zilizojengwa na zinazoendelea kujengwa katika sehemu mbali mbali za Visiwa vya Unguja na Pemba ni maeneo maal...
Balazi Seif ayapongeza mashirikia ya Muungano
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif amezipongeza Taasisi na Mashirika ya Serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Serika...
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akimkabidhi nyaraka za Mashamba ya Serikali Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo na Maliasili Zanzibar Ndu. Afan Othman Maalim hafla iliyofanyika katika ukumbi wa Tasaf Ofisi ya Makamu Pili wa Rais wa Zanzibar Chake Chake Pemba
Kilimo kusimamia mashamba
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imefikia uamuzi wa Mashamba yote ya Serikali yaliyokuwa chini ya usimamizi na uangalizi wa Wizara ya Ard...
A ‘Marshall Plan’ for Africa’s employment challenge
Africa must do more to tackle the threat of unemployment - Tony Elumelu Tony Elumelu, the entrepreneur, philanthropist and chairman of Hei...
Mama Asha ionya jamii
Mke wa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mama Asha Suleiman Iddi ameiasa Jamii kwamba uigaji wa hulka na Tabia za kigeni zinazoonekana ...
Hiki ndicho kijiji kilichoathriwa na moro huko Kaskazini Pemba hivi karibuni
Ni moja kati ya nyumba 14 katika Kijiji cha Shumba Mjini Wilaya ya Micheweni ziliztoathirika kwa moto mkubwa ulitokea majira ya saa 5.0...
Nyumba 14 zateketea kwa moto Kaskazini Pemba
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi ameiagiza Serikali ya Mkoa wa Kaskazini Pemba kufanya tathmini mara moja nyumba zo...
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akiweka jiwe la msingi la jengo la michezo ya ndani liliopo pembezoni mwa uwanja wa michezo wa Gombani Chake Chake Kisiwani Pemba ikiwa ni shamra shamra za maadhimisho ya kutimia miaka 50 ya mapinduzi ya Zanzibar ya mwaka 1964
Wizara yatakiwa kuimarisha michezo Zanzibar
Wizara ya Habari, Utamaduni, Utalii na Michezo imeombwa kuzidi kuimarisha michezo ya ndani angalau kwa kuanzia michezo mitatu katika kila ...
SMZ: imefurahishwa na maonyesho
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Sharif Hamad, amesema serikali imepata moyo kuona taasisi, mashirika na wanan...
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akizungumza na Kocha Mkuu wa Soka wa Italy Cesare Pzandell ambae yuko nchini kwa mapumziko ya mwaka mpya
Cesare Psandell aishauri SMZ juu ya kuimarisha soka la Zanzibar
Kocha Mkuu wa Italy Cesare Psandell ameishauri Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kupitia Wizara ya Habari, Utamaduni, Utalii na Michezo ku...
Makamu wa Pili mwa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akizungumza na Ujumbe wa Kampuni ya Kimataifa inayojishughulisha na uwekezaji katika sekta ya Viwanda, Bandari na Viwanja vya Ndege ya ALTEC hapo Ofisini kwake Vuga Mjini Zanzibar
ALTEC yakusudia kuwekeza Zanzibar
Kampuni ya Kimataifa inayojishughulisha na miradi ya uwekezaji katika sekta ya Viwanda, Bandari na Uwanja wa Ndege ya ALTEC yenye makamu ...
Makamau wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akiangalia matayarisho ya mwisho ya maonyesho ya Miaka 50 ya Mapinduzi ya Zanzibar hapo uwanja wa Kampasi ya Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar { SUZA } uliopo Beit El Ras nje kidogo ya Mji wa Zanzibar
Sheni afungua maonyesho ya miaka 50 ya mapinduzi
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dr. Ali Moh'd Sheni leo tarehe 2 Januari 2014 anatarajiwa kuyafungua rasmi ma...
CCM watakiwa kuimarisha MUUNGANO
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama cha Mapinduzi Balozi Seif Ali Iddi alisema kazi kubwa iliyopo hivi sasa kwa wana...