Dennis Itumbi Dennis Itumbi

Popular journalist and blogger Dennis Itumbi may be charged on Monday for allegedly hacking the International Criminal Court website, but s...

Read more »
21:38

Harakati za kupambana na Umasikini ziende sambamba na juhudi za kimaendeleo ya kijamii Harakati za kupambana na Umasikini ziende sambamba na juhudi za kimaendeleo ya kijamii

Juhudi za kupambana na Umaskini hapa Nchini ni vyema zikajikita zaidi katika kuimarisha Uchumi sambamba na huduma za Kijamii kwa lengo la ku...

Read more »
21:25

Serikali itaziangali upya sheria za UVUVI Zanzibar Serikali itaziangali upya sheria za UVUVI Zanzibar

Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar inakusudia kuziangalia upya Sheria za Uvuvi zilizopo Nchini ili kuona uvuvi haramu ambao unaendelea kukith...

Read more »
14:36

Electric International Company Limited yatakiwa kukamilisha ujenzi wa skuli ya PAJE ndani ya miezi MINNE Electric International Company Limited yatakiwa kukamilisha ujenzi wa skuli ya PAJE ndani ya miezi MINNE

Kampuni ya Ujenzi ya Electric International Company Limited imeagizwa kukamilisha ujenzi wa Skuli Mpya ya Sekondari ya Wilaya ya Kusini iliy...

Read more »
14:17

UJUMBE WA KATIBU MKUU WA UMOJA WA MATAIFA KATIKA KUADHIMISHA SIKU YA KIMATAIFA YA KIFUA KIKUU  24 Machi 2012 UJUMBE WA KATIBU MKUU WA UMOJA WA MATAIFA KATIKA KUADHIMISHA SIKU YA KIMATAIFA YA KIFUA KIKUU 24 Machi 2012

Kwa kipindi kirefu mno, ugonjwa wa kifua kikuu haujapewa usikivu wa kutosha. Matokeo ya kutokujal...

Read more »
11:45

MESSAGE ON THE INTERNATIONAL DAY  FOR THE RIGHT TO THE TRUTH  CONCERNING GROSS HUMAN RIGHTS VIOLATIONS  AND FOR THE DIGNITY OF VICTIMS  24 March 2012 MESSAGE ON THE INTERNATIONAL DAY FOR THE RIGHT TO THE TRUTH CONCERNING GROSS HUMAN RIGHTS VIOLATIONS AND FOR THE DIGNITY OF VICTIMS 24 March 2012

Today we pay tribute to the memory of Monsignor Oscar Arnulfo Romero, who was murdered in El Salvador on this day in 1980 for refusing to be...

Read more »
11:42

China yaisaidia Zanzibar katika kuimariasha masuala ya UFUNDI kwa vijana wa Zanzibar China yaisaidia Zanzibar katika kuimariasha masuala ya UFUNDI kwa vijana wa Zanzibar

Makamu wa Rais wa Kampuni ya Kimataifa ya Avic ya Nchini China Bw...

Read more »
11:37

Misri waomboleza kifo cha Shenouda Misri waomboleza kifo cha Shenouda

Makamu wa apili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akitia saini kitabu cha maombolezo kufuatia k...

Read more »
11:27

UJUMBE WA  KATIBU MKUU WA UMOJA WA MATAIFA, BAN KI- MOON KATIKA KUADHIMISHA SIKU YA MAJI DUNIANI UJUMBE WA KATIBU MKUU WA UMOJA WA MATAIFA, BAN KI- MOON KATIKA KUADHIMISHA SIKU YA MAJI DUNIANI

Katika miongo ijayo, suala la kuulisha umma wa ulimwengu na kuhakikisha  usalama wa chakula kwa wote litategemea ongezeko la uzalishaji wa c...

Read more »
22:17

MESSAGE ON World Down Syndrome Day 21 March 2012 MESSAGE ON World Down Syndrome Day 21 March 2012

Today marks the first commemoration of World Down Syndrome Day. I congratulate the global partnership of governments, activists, families, p...

Read more »
22:12

Media Release Media Release

  Report finds Big Tobacco slowing implementation of countries’ tobacco control plans Tobacco control was declared a ‘best buy’ in fighting ...

Read more »
11:40

tuwe na mipango imara na si bla bla tu tuwe na mipango imara na si bla bla tu
Read more »
14:24

ARTERIAL NETWORK MEDIA STATEMENT ARTERIAL NETWORK MEDIA STATEMENT

Arterial Network celebrates its fifth anniversary Arterial Network, a Pan African network of artists, cultural activists, creative enterpris...

Read more »
14:00

Umeonaeeeeeee? Umeonaeeeeeee?
Read more »
13:56

Press Statement Press Statement

Marking a full year of violent suppression of anti-government protests in Syria, the United Nations Secretary-General's Special Advisers...

Read more »
21:34

India yaangalia mpango wa kuwekeza zaidi Afrika India yaangalia mpango wa kuwekeza zaidi Afrika

Kampuni ya Kimataifa inayojishughulisha na Masuala ya Miundo Mbinu kutoka Nchini India inaendelea na utaratibu wa kuangalia Mipango yao zaid...

Read more »
21:26

Hapo safi Hapo safi

hivi ndivyo tunavotakiwa kufanya kazi zetu kwa umakini

Read more »
22:07

Mwisho wa wiki kwenye fukwe za Bagamoyo Mwisho wa wiki kwenye fukwe za Bagamoyo

Ni siku ya faraja kwa wakaazi wa Bagamoyo kwani hali hii ya kutembelea katika fukwe huwa ni kila mwisho wa wiki, ambapo kwa asilimia kubwa v...

Read more »
22:04

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

Kikosi cha zima moto na uokozi kimefanikiwa kuuzima moto uliotokea katika jengo la Mfuko wa Hifadhi ya Jamii liliopo Kilimani Mjini Zanzibar...

Read more »
22:37

Mke wa Makamo wa Pili wa Rais asema hatua za kuwafanya watoto kuielewa vyema dini yao ni jambo la msingi sana Mke wa Makamo wa Pili wa Rais asema hatua za kuwafanya watoto kuielewa vyema dini yao ni jambo la msingi sana

Mke wa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mama Asha Suleiman Iddi alisema jitihada za Walimu wa Madrasa Nchini katika Kuwafinyanga vyema Wat...

Read more »
17:48

Balozi Seif asema CCM itaendelea kuheshimika katika jamii Balozi Seif asema CCM itaendelea kuheshimika katika jamii

Chama cha Mapinduzi kitaendelea kuheshimika ndani ya Jamii endapo Viongozi wanaokisimamia kuanzia ngazi ya Shina hadi Taifa watatekeleza vye...

Read more »
17:44

Komamanga ni tunda muhimu kwa afya ya jamii ila watu wengi hawajuwi Komamanga ni tunda muhimu kwa afya ya jamii ila watu wengi hawajuwi

inasemekana kwamba tunda hili kwa kiasi kikubwa linauwezo wa kuzuwiya ungonjwa wa kansa ya matiti kwa kina mama, ni tunda zuri na ni adimu ...

Read more »
17:30

Usarifu wa matumizi ya sarafu Usarifu wa matumizi ya sarafu

Hizi ni sarafu za mataifa mbali mbali ambazo zimekuwa zikisarafiwa kwa ajili ya matumizi ya mapambo ambayo hutumika zaidi kwa ajina mama kuw...

Read more »
07:06

China yaendeleza ushirikiano na SMZ China yaendeleza ushirikiano na SMZ

Jamuhuri ya Watu wa China itaendelea kuwa Mshirika mkubwa wa Zanzibar katika harakati za Uimarishaji wa Maendeleo ya Kiuchumi Kibiashara, Mi...

Read more »
19:57

Hii ndio sehemu iliyokuwa imeweka maskani ya  chuo cha waandishi wa habari cha DSJ na sasa kimehama Zanzibar ila mabaki yake yamebakia katika viunga vya mji wa Zanzibar Hii ndio sehemu iliyokuwa imeweka maskani ya chuo cha waandishi wa habari cha DSJ na sasa kimehama Zanzibar ila mabaki yake yamebakia katika viunga vya mji wa Zanzibar
Read more »
22:54
 
Top