Dk.Kikwete apongeza kundwa kwa baraza la ushauri
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinzuzi Taifa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. Jakaya Mrisho Kikwete alisema kuundwa kwa Baraza la u...
DHL observes changes in Africa’s technology market
• Express company estimates that 60% of IT hardware growth in 2013 will come from tablets and smartphones • “Technology compani...
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akibadilishana mawazo na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika la Bima Zanzibar aliyepo kulia yake Dr. Hamed Rashid Hikman, ambapo kushoto yake ni Mkuruigenzi Mtendaji wa Shirika hilo Abdulnaasir Abdulrahman kabla ya kuzungumza na watendaji wa shirika hilo tawi la Lumbumba Jijini Dar es salaam
SMZ yazipongeza ZIC na PBZ kwa juhudi zao
Jitihada kubwa zinazoendelea kuchukuliwa na Uongozi pamoja na Wafanyakazi wa Shirika ya Bima la Zanzibar { ZIC } na ule wa Benki ya Watu w...
Baraza kuu la CUF kujadili mpango wa maendeleo kwa wote
Baraza Kuu la Uongozi la CUF linakutana jijini Dar es Salaam kwa kikao chake cha kawaida cha siku mbili. Akifungua kikao hicho k...
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akiwa na Mkurugenzi wa Shughuli za Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Dar es salaam Shumbana Taufiq kabla ya kuanza ziara yake katika Taasisi za SMZ zilizopo Mjini Dar es salaam
SMZ yakusudia kuimarisha shughuliza ofisi za Uratibu zilizopo Dar
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar itajitahidi kuona changamoto zinazowakabili watendaji wa Ofisi ya Uratibu wa shughuli za Serikali ya Map...
Baraza kuu la CUF lakutana jijini Dar
Baraza Kuu la Uongozi la CUF linakutana jijini Dar es Salaam kwa kikao chake cha kawaida cha siku mbili. Akifungua kikao hicho kinachof...
Ten Million SASSA MasterCard Cards Issued to South African Social Grant Beneficiaries
Electronic programme helps government minimise fraud, reduce costs, and extend financial inclusion to millions ...
Dk.Shein apongeza juhudi za PBZ
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein amesifu hatua zilizochukuliwa katika kuiimarisha Benki ya Watu ...
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akiwa na Balozi mdogo wa China hapa Zanzibar Chen Qiman kwenye tafrija maalum aliyomuandalia akikaribia kumaliza muda wake wa Ubalozi hapa Zanzibar
Mapinduzi ya kiuchumi yaliyofanywa na China imekuwa ni chachu ya maendeleo kwa nchini zinazoendelea
Mapinduzi makubwa ya Kiuchumi yaliyofanywa kimahiri na Jamuhuri ya Watu wa China katika miaka ya 80 yamesaidia kuziwezesha nchi nyingi zin...
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akizindua maabara ya mafunzo ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano { Tehama } ya chuo Kikuu huria cha Tanzania katika kituo cha Uratibu cha Chuo hicho kiliopo Zanzibar hapo Beit El- Ras Nje kidogo ya Mji wa Zanzibar
Vijana watakiwa kuzichangamkia fursa zilizopo
Vijana n chini wametakiwa kuchangamkia fursa za elimu zinazotolewa na vyuo mbali mbali nchini ili kupanda daraja la kitaaluma pamoja na ku...
SMZ yaahidi kuashirikiana na balozi ndogo zilizpo Zanzibar
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imeahidi kuongeza ushirikiano kwa mabalozi wanaoziwakilisha nchi zao hapa Zanzibar, ili waweze kutekelez...
Maalim Seif asikitishwa na hujma
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad amesema anasikitishwa na matukio ya hujuma yaliyojitokeza Zanzibar, ikiwemo ...
Zanzibar itaendelea kuwa mshirika wa China katika harakati za kimaendeleo
Zanzibar itaendelea kuwa mshirika mkubwa na Jamuhuri ya Watu wa China katika kuungwa mkono kwake kwenye harakati za kujiletea maendeleo ...
Chinese and African Leaders Herald a New Era of Health Cooperation at First China-Africa Health Ministers’ Meeting
Leaders issue Beijing Declaration to set priorities for health collaboration at the first meeting of health ministers under the Forum on...
Dk.Shein atuma salama za pongezi India
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohammed Shein amemtumia salamu za pongezi Rais wa Jamhuri ya India Mhe...