KUUAWA KWA MWENYEKITI WA KLABU YA WAANDISHI WA HABARI MKOA WA IRINGA (IPC) DAUDI MWANGOSI Zanzibar Press Club imepokea kwa masikitiko na...
Wizara ya afya yatakiwa kujenga hospitali kubwa wilaya ya Kati
Msimamizi wa Kituo cha Afya cha Kendwa Nungwi Bwana Viola Franco kutoka Hoteli ya Kimataifa ya Lagema Nungwi inayosimamia Kituo hicho ...
SMZ imeunda idara maalumu kwa ajili ya kushughulia masuala ya Wazanzibar waishio nje: Asema Makamo wa Kwaaanza wa Rais
WASHINGTON : Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad, amewahakikishia Wazanzibari wanaoishi nchi za nje kuwa Serika...
Maalim Seif azungumzia demokrasi na siasa za Zanzibar
WASHINGTON : Makamu wa Kwanza wa Rais amekutana na msaidizi Waziri wa mambo ya nje wa Marekani anayeshughulikia masuala ya Afrika Bwana Joh...
TAUSI aburudisha LAGEMA
Ukumbi wa Mikutano wa Hoteli ya Kimataifa ya Lagema iliyoko katika Kijiji cha Nungwi Mkoa wa Kaskazini Unguja ulikuwa na burdani ya aina ya...
SMZ yafikiria kuvifufua viwanda vidogo vidogo
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar inaangalia mazingira ya kuimarisha pamoja na kuvifufua Viwanda Vidogo vidogo ili kuongeza soko la ajira...
Balazi Seif asema bado kunakazi kubwa ya kufikia maendelea katika jimbo la Kitope
Mbunge wa Jimbo la Kitope Balozi Seif Ali Iddi alisema licha ya jitihada zinazoendelea kuchukuliwa na Uongozi wa Jimbo hilo lakini bad...
Maalim Seif akutana na mabalozi mballi mbali nchini Marekani
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad amekutana na mabalozi wa nchi mbali mbali wanaoziwakilisha nchi zao nchini Ma...
Balozi Seif akusudia kumuandikia barua Waziri wa Ardhi Zanzibar
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi anakusudia kumuandikia Barua Waziri anayesimamia masuala ya Ardhi Zanzibar kumtaka ...
TAARIFA KWA UMMA/VYOMBO VYA HABARI
KUHUSU KUUAWA KWA MWANDISHI WA HABARI WA CHANNEL TEN NA MWENYEKITI WA KLABU YA WAANDISHI WA HABARI MKOA WA IRINGA (IPC) DAUDI MWANGOSI...
TV JOURNALIST KILLED AS POLICE, CHADEMA CLASH
By Clement Sanga,The Citizen reporter, Iringa. A journalist yesterday became the victim of confrontation ...