Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi anakusudia kumuandikia Barua Waziri anayesimamia masuala ya Ardhi Zanzibar kumtaka ...
TAARIFA KWA UMMA/VYOMBO VYA HABARI
KUHUSU KUUAWA KWA MWANDISHI WA HABARI WA CHANNEL TEN NA MWENYEKITI WA KLABU YA WAANDISHI WA HABARI MKOA WA IRINGA (IPC) DAUDI MWANGOSI...
TV JOURNALIST KILLED AS POLICE, CHADEMA CLASH
By Clement Sanga,The Citizen reporter, Iringa. A journalist yesterday became the victim of confrontation ...
Kitope yakusudia kuimarisha Michezo
Uongozi wa Jimbo la Kitope umekusudia kuimarisha sekta ya michezo kwa lengo la kuwawezesha Vijana wa Jimbo hilo kuwa pamoja katika harakati...
Maalim Seif ziarani Marekani
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad ameondoka nchini leo kuelekea nchini Marekani na Uingereza kwa ziara ya kika...
JUHIMKO yatakiwa kufanya jihudi za kuulinda mjo mkongwe wa Zanzibar
Uongozi wa Jumuiya ya Hifadhi ya Mji Mkongwe wa Zanzibar umeshauriwa kuchukuwa juhudi za makusudi za kuandika Historia ya Mji Mkongwe n...
Boston yalenga kuisaidia Zanzibar katika sekta ya afya
T aasisi inayoshughulikia Taaluma ya Teknolojia ya Afya ya chuo Kikuu cha Brown Mjini Boston Nchini Marekani { Med International } imelenga...
Serikali ya SMZ yathamini tiba asili
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad amesema serikali inathamini mchango mkubwa unaotolewa na waganga wa tiba as...
Viongozi wapya wa umoja wa Vijana wa CCM watakiwa kujipanga
Utekelezaji wa kazi za Chama Cha Mapinduzi { CCM } utakuwa rahisi iwapo Viongozi wapya wa Umoja wa Vijana wa CCM watajipanga vyema katika k...