Wajumbe wa bunge la katibu watakiwa kutekeleza kazi zao kwa mujibu wa kanuni
Wabunge wa Bunge Maalum la Katiba wana wajibu wa kutekeleza kazi zao kwa mujibu wa Kanuni walizojiwekea za kuendesha Bunge hilo ili kiuwa ...
Mwili wa Mkuu wa Mkoa wa Mara Marehemu John Gariel Tuppa aliyefariki Dunia Juzi Tarehe 26/3/2014 ukiingizwa ndani ya Bunstani ya Nyerere Square kati kati ya Vitongoji wa Mji wa Dodoma kwa ajili ya Ibada Maalum ya Kuuaga
Mkuu wa Mkoa wa Mara aagwa rasmi
Mamia ya wananchi na Wakaazi wa Mji wa Dodoma na vitongoji vyake leo wameuaga rasmi mwili wa Mkuu wa Mkoa wa Mara Marehemu John Gabriel T...
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akiangalia ramani ya ujenzi wa miradi mitatu ya uwanja wa ndege wa Zanzibar, alipofanya ziara ya kutembelea miradi hiyo
Maalim Seif aridhishwa na ujenzi wa uwanja wa ndege
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, ameelezea kuridhishwa kwake na hatua iliyofikiwa katika ujenzi wa mira...
CCM wanatakiwa kuzingatia umoja uliyopo
Wanachama wa Chama cha Mapinduzi na wananchi wote wamenasihiwa kuendelea kuzingatia mfumo wa Umoja uliopo miongoni mwa jamii utakaosaidia ...
Maalim Seif hakufuraishwa na kauliza Kikwete
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad amesema hakufurahishwa na baadhi ya kauli zilizotolewa na Rais w...
Manispaa yatakiwa jyweka utaratibu mzuri wa ukusanyaji taka
Baraza la Manispaa la Zanzibar limeshauriwa kuweka utaratibu unaofaa kuhakikisha kuwa mrundikano wa taka hasa katika maeneo ya mjini unapu...
Wanaccm watakiwa kuheshimu mfumo uliopo
Wanachama wa Chama cha Mapinduzi na wananchi wote wamenasihiwa kuendelea kuzingatia mfumo wa Umoja uliopo miongoni mwa jamii utakaosaidia ...
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif akiwa sambamba na Mwakilishi wa Hoteli ya Waride Resort Bwana Massliano Bramucci wakikata utepe kuashiria ufunguzi wa Kituo cha Huduma za akina Mama wajawazito katika Kijiji cha Pwani Mchangani Mkoa wa Kaskazini Unguja.
Wawekezaji washirikiana na jamii katika kuleta maendeleo
Ushirikiano unaoendelea kuonekana Kwenye miradi kadhaa ya maendeleo inayofanywa kwa pamoja kati ya wananchi na wawekezaji ni miongoni mwa...
Mbunge wa Jimbo la Kitope Balozi Seif Ali Iddi akikagua Jengo jipya la Tawi la Chama cha Mapinduzi la Kazole pamoja na kukabidhi vifaa kwa ajili ya hatua ya ukamilishaji wa Linta
Balozi Seif apongeza ujenzi wa matawi ya CCM
Zaidi ya asilimia 95% imefikiwa katika ujenzi wa Matawi ya Kisasa ya Chama cha Mapinduzi ndani ya Jimbo la Kitope liliomo katika Wilaya ya...
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akiwapa pole baadhi ya Wananchi ambao nyumba zao zilikumbwa na upepo mkali katika Shehia za Kwaalamsha, Makadara na Mkele Wilaya ya Mjini
Wananchi watakiwa kuwa na hadhari kwatika kipindi hiki cha mvua za masika
Jamii nchini imetahadharishwa kuwa makini katika kipindi hichi kilichoanza cha msimu wa mvua za masika ambacho kimezoeleka kuwa na matukio...
Three-year effort will intensify protection of Kruger National Park’s rhino population, drawing lessons to address poaching that finances conflict in Africa
The Howard G. Buffett Foundation ( HGBF ) , a private foundation in the United States; the Nature Conservation Trust (NCT), a South Africa...
Africa is not only the last frontier but possibly the biggest frontier for business - DHL
Last week as he was driving through Johannesburg, a board member of a multi-billion Euro multinational made a rather bold statement, “Afr...
Tafriaja Dodoma
Makamu Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba Tanzania ambae pia ni Waziri wa Nchi anayeshughulikia Muungano Mh.Samia Suluhu Hassan Kushot...
Africa Finance Corporation (AFC) Hosts Inaugural Summit to Address the Scale of Africa’s Infrastructure Requirements and Investment Deficit
The Africa Finance Corporation (AFC ) , an African-led multilateral development financial institution whose mission is to improve African ...