Mataifa ya Bara la Afrika yana wajibu wa kuhakikisha kwamba Elimu inayotolewa na kufundishwa katika Taasisi zote za Elimu Barani humu inak...
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akizungumza na Balozi wa Jamuhuri ya Watu wa Kenya Nchini Tanzania Balozi Mutinda Mutiso hapo Ofisini kwake Vuga Mjini Zanzibar
SMZ inachukia vitendo vya uvunjifu wa amani visiwani Zanzibar
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kamwe isingependa kuona usalama na amani ya Nchi inapotea kwa kuachwa kuchezewa na baadhi ya watu kw...
SMZ yaalani kitendo cha kumwangiwa tindikali kwa raia wawili wa Uingereza
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imesikitishwa na kitendo kibaya na kiovu walichofanyiwa raia wawili wa kike wa Uingereza Katie Gee na K...
SMZ yatowa pole kwa Wakenya
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imetoa pole kwa Wananchi wa Jamuhuri ya Watu wa Kenya kutokana na maafa ya moto mkubwa uliokikumba Kiwan...
SkyVision successfully implements project to install and manage UNACOOPEC’s satellite private network consisting of 97 branches
SkyVision's Private Network solution provided a Comprehensive and Secure Voice and Data network to a Côte d'Ivoire Leader in the...
Matumizi ya teknolijia yawe kwa wote
Serikali imepanga kuhakikisha kwamba matumizi ya teknolojia mbali mbali za kilimo zinatumika ili kufikia malengo yaliyokusidiwa ya kuwa n...
DHL delivers light to Africa
DHL , the world’s leading logistics company, often uses its dedicated network to deliver hope for those in need. Recently, the company ha...
Uwanja wa ndege wa Jomo Kenyatta nchini kenye waripuku
Uwanja wa ndege wa kimataifa wa Jomo Kenyatta umefungwa baada ya moto mkubwa kutokea katika uwanja huo mjini Nairobi. Kwa sasa moto huo ...
New Service Enables Orange Money Customers to Make Visa in Store & Online Payments and ATM Transactions
O range has announced a new set of mobile payment services in conjunction with Visa for Orange Money subscribers. Botswana will be the fir...
Ikulu ya Zanzibar yafutarisha
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk. Ali Mohamed Shein jana aliungana na wananchi pamoja na viongozi mbali mbali...
Ni moja kati ya chumba ambacho huwekwa chini ya Bahari kikionekana kwa mbali kikiendelea na matengenezo kwenye Hoteli ya Manta Resort Makangale iliyoko Mkoa wa Kaskazini Pemba, ambapo Balozi Seif alitembelea kwenye eneo hilo
Hiki ndio chumba chenyewe Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif akishusha Nanga kuashiria kuweka jiwe na nanga la ujenzi...
Balozi Seif aitahadharisha jamii kuhusiana na Udini
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi ameitahadharisha Jamii nchini kujiepusha na tabia za baadhi ya watu wanaotumia din...
NMB yatakiwa kuongeza mtawi yake nchini
Uongozi wa Benki ya NMB una wajibu wa kufanya utafiti wa kina katika muelekeo wa kuongeza Matawi yake katika sehemu tofauti nchini wakilen...
Benki ya Postal Tanzania kuimarisha huduma zake
Kufuatia kuongeza kwa huduma za Kifedha Kitaifa na Kimataifa ndani ya mfumo wa Mtandao wa Mawasiliano wakati umefika kwa Benki ya...
Equity Bank customers now get mobile with Airtel Money
Equity Bank and Airtel Kenya have today entered into a partnership that will offer comprehensive mobile commerce solutions to their cus...
Mwanachama yoyote atakaye kwenda kinyume na katiba ya CCm hafai
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama cha Mapinduzi Balozi Seif Ali Iddi alisema mwanachama wa CCM mwenye tab...
DHL identifies Africa as the next frontier for healthcare sector
Growth can be attributed to increased life expectancy, rate of urbanization and the rise of the African middle class Over the past dec...
EIAR and AGRA Launch New Breeding Initiative to Increase Productivity of Key Grain Crops in Ethiopia
Three-year initiative will boost household food security and incomes through introduction of high-yielding varieties in Ethiopia Tod...
Mke wa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mama Asha Suleiman Iddi akitoa huduma za vyakula katika futari ya pamoja iliyoandaliwa na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif pamoja na watendaji wa Wizara yake hapo Nyumbani kwake Mazizini.
Waumini wa kiislamu washirikiana katika futari
Wakati funga ya mwezi Mtukufu wa Ramadhani ikimalizia kukamilisha kumi la Pili la Maghfira na kuingia kumi la Tatu na la mwisho la kuach...
Vijana wasitengwe
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama cha Mapinduzi Balozi Seif Ali Iddi amekemea tabia ya baadhi ya Viongozi wa Cham...