Hiki ndio chumba chenyewe
 Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif akishusha Nanga kuashiria kuweka jiwe na nanga la ujenzi wa chumba cha chini ya bahari katika Hotelai ya Manta Resort iliyoko Makangale Kaskazini mwa Kisiwa cha Pemba
 Meneja wa Hoteli ya Manta Resort Makangale mkoa wa kaskazini Pemba Bwana Metthew Saus { Maarufu Babu kwanini na msaidizi wake  wakiwa tayari kumsubiri mgeni rasmi Balozi Seif Ali Iddi kuweka jiwe la nanga katika ujenzi wa chumba cha chini ya bahari
 Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif  akiwa na Mkewe Mama Pili Seif Iddi wakiwa kwenye Boti kuelekea kwenye uwekaji wa jiwe la nanga la ujenzi wa chumba cha chini ya bahari katika Hoteli ya Manta Resort iliyoko Makangale Mkoa Kaskazini Pemba
 Balozi Seif akiwa na Mkewe Mama Pili Seif Iddi wakifuaria bidhaa zilizotengenezwa wajasiri amali wa Jimbo la Gando huku wakipata maelezo kutoka kwa mjasiri amali wa kikundi hicho Bibi Faida Hamad Juma.
Mke wa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mama Pili Seif Iddi akijigeza moja ya kanzu zilizotengenezwa na wajasiri amali wa Jimbo la Gando ambayo aliondoka nayo kwa manunuzi

0 comments:

 
Top