India is Canadian Key Priority in Trade
Canada is deepening trade ties with India as its key priority as the two countries work out the modalities of a Comprehensive Economic Part...
Ni vyema kufanya kazi kwa vikundi ili kurahisisha kazi kwa ajili ya kufikia lengo kama ambavyo washiriki hawa wa mafunzo ya usalama wa barabarani walivyofanya katika kuanda na kuweka wazi mataraji yao katika mafunzo hayo ya siku tano
GIZ wakiwa katika mafunzo ya ROAD SAFETY mkoani Morogoro
Mwana GIZ Alumni Tanzania wakati wa kujitambulisha majina kwa washiriki wengine Ni raha ukiwa na uwezo mzuri wakusikia na kuchingi mada k...
Gari la mafuta ambalo hatukuweza kulipata vizuri likiwa limeacha njia yake ya kawaida na kuingia mbugani aliyelala chini ni miongoni mwa majeruhi ajali hii imetokea katika barabara iyendayo morogoro
Patashika ndani ya boti ya kilimanjaro 1 ilipelekea boti hiyo kurudi bandarini Zanzibar majira ya saa nne na robo kwa ajili ya kumshusha kijana ambaye hakuweza kufahamika jina lake kwa madai ya kutaka kupatia haki haya
kijana mwenye simu ambaye amevalia fulana na manjano ndie aliyekuwa akipurukushana na bahari wa boti ya kilimanjaro 1 leo asubuhi kwa madi y...
Major progress towards Millennium Development Goals, but the most vulnerable are left behind, UN report says
Significant strides towards achieving the Millennium Development Goals (MDGs) have been made, yet reaching all the goals by the 2015 deadlin...
Sub-Saharan Africa advances on many Millennium Development Goals, but still faces tough challenges
Sub-Saharan Africa has made rapid progress towards the Millennium Development Goals (MDGs), but reaching all Goals by 2015 remains challengi...
THE BEAT FESTIVAL jijini Dar-es-salaam usikose
DELA - Afro Soul http://www.penya-africa.com/ Top Kenyan afro-soul singer Dela, has worked closely with the super group Sauti Sol during ...
Malazi ya kudumu
Haya ndio malazi ya mwisho ya mwanadamu yoyote pale katika dunia hii, ni pahala pazito na pagumu sana kwa mwaadamu lakini hakuna njia ya kuk...
Ipo haja kwa taasisi husika kuwa makini katika suala zima la urithi wa mji mkongwe kama ambavyo ukuta huu wa Jumba la Mfalme (Palace Museum) Zanzibar unavyoonkena sasa kwa kweli ipo haja ya kuufanyia marekebisho ukuta huu
Warembo wa Miss Morogoro wakiwa katika pozi tofauti wakati wa maandalizi ya mashidano hayo hivi karibuni
warembo wa mashindano ya Miss Morogoro wakiwa katika picha ya pamoja Mamiss wa Morogoro wakiwa katika matembezi ya kawaida kwa hakika m...
India, Japan to Implement CEPA from August 1
India and Japan are scheduled to implement a comprehensive free trade agreement from August 1 to boost bilateral trade between the countrie...
Hii ndio studio yetu Mtegani ambayo tunahitaji msaada wa kila hali na mali kwa sasa tunapatikana kwenye masafa ya 91.9 Fm
Hivi ndio vitendea kazi vyetu Humu ndio ilimozaliwa Mtegani Fm Radion ambayo inapatikana kwenye masafa ya 91.9
Tutapata wapi maji
Ni tangazo zuri kutoka Mamlaka ya Maji Zanzibar lakini jee athari zake zikoje kwa jamii ambayo imekuwa ikitumia maji katika harakati zake za...
Ushirikiano katika kazi
Imeelezwa kwamba ushirikiano katika ya jumuiya na jumuiya ni jambo la msingi katika kuendeleza uhifadhi wa mji mkongwe wa Zanzibar pamoja na...
Arterial across the continent
Arterial Network (AN) will be attending the upcoming National Arts Festival in full force from this weekend, to launch a series of publicati...