Chama Cha Wananchi CUF kimesema kuwa amani ya kudumu haiwezi kupatikana katika nchi yoyote bila ya kuwepo haki na usawa katika jamii. Kati...
SMZ yazuwiya hati za umiliki wa ardhi
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imezuia utolewaji wa Hati za umiliki wa maeneo ya Ardhi kwa ajili ya Kilimo kwa wakulima wa Vijiji vya ...
Maalim Seifataka tahadhari ichukuliwa kwa watoto
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad ametaka tahadhari zaidi zichukuliwe katika kuwakuza watoto kimaadili, ili ku...
Balozi Seif asaini kitabu cha maombolezi
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi alikuwa miongoni mwa Viongozi wa Serikali,Mashirika na Taasisi mbali mbali za Kimat...
Balozi Seif akutana na Brigedia General Othman
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi amesema kuendelea kuwepo kwa amani Nchini ni jambo la msingi linalowawezesha ...
Maalim Seif azuwiya matumizi ya makumbusho mara baada ya kubomoka
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad ameuagiza uongozi wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Utalii na Mi...
Mashindano ya riadha yafana
B aada ya ukimya mrefu na Jamii kulemaa katika kuangalia mchezo wa kandanda ndani ya Viunga vya uwanja wa Amani Mjini Zanzibar sasa mambo ...