Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama cha Mapinduzi Balozi Seif Ali Iddi amempongeza Mwakilishi wa Jimbo la Uzini M...
CUF itasimamia misingi ya haki
Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi CUF Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad amesema chama chake kitaendelea kusimamia misingi ya haki na usawa, il...
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akikizindua rasmi Kitabu cha Zanzibar Yearbook of Law kusherehekea maisha ya muasisi wa kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar Marehemu Profesa Haroub Othman hapo katika ukumbi wa Eacrotanal Mjini Zanzibar
Kituo cha huduama ya sheria Zanzibar ni miongoni mwa urithi muhimu wa Prof.Haroub
Uongozi wa Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar umekumbushwa kuendelea kubakia kuwa urithi wa mchango mkubwa kwa jamii ulioachwa na Mwanaf...
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif akipokea vifaa mbali mbali vya michezo kutoka kwa Mwenyekiti Mtendaji wa Kampuni ya Hassan and Sons kwa niaba ya wafanyabiashara wenzake Mohd Raza kusaidia mashindano ya Kombaini za wanafunzi wa Wilaya 10 za Zanzibar kusherehekea miaka 50 ya Mapinduzi ya Zanzibar
Wizara ya Elimu yakudusia kufufua michezo
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kupitia Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar imedhamiria kufufua upya vugu vugu la michezo Nchi...
Milango iko wazi kwa muwekezaji Zanzibar
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar inaendelea kuwacha milango wazi kwa wawekezaji wa sekta tofauti kutoka Nchini Uturuki kuwekeza viteg...
Mke wa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mama Asha Suleiman Iddi akimkabidhi Zawadi ya Bao miongoni mwa Mabao 12 Katibu wa mchezo wa Bao Wilaya ya Chake chake Nd. Faki Salum Khamis aliyojitolea kuhamasisha mchezo huo ili wajiandae vyema katika mashindano ya bao kusherehekea miaka 50 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar ya mwaka 1964
Wajumbe wa Mkoa wa Vyuo Vikuu CCM Zanzibar walioshiriki kongamano la Kutimia miaka 50 ya Mapinduzi ya Zanzibar ya mwaka 1964 liliofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Grand Palace Malindi Mjini Zanzibar
CCM yawalenga wasomi
Chama cha Mapinduzi kinakusudia kutoa kipaumbele zaidi kwa vijana wasomi wa vyuo vikuu waliowanachama wa chama hicho katika kuwapatia furs...
HOTUBA YA MAKAMU WA PILI WA RAIS WA ZANZIBAR, MHE. BALOZI SEIF A. IDDI KATIKA UWEKAJI WA JIWE LA MSINGI JENGO JIPYA LA ABIRIA (TERMINAL 11) NA NJIA YA MAEGESHO YA NDEGE
Mheshimiwa Rashid Seif Suleiman, Waziri wa Miundombinu na Mawasiliano, Waheshimiwa Mawaziri na Naibu Mawaziri wa Serikali ya Mapinduzi ya ...
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akihutubia katika hafla ya uwekaji wa jiwe la msingi la ujenzi wa jongo jipya la Abiria pamoja na njia za kurukia na kutulia pamoja na maegesho la Ndege kwenye uwanja wa ndege wa kimataifa wa Zanzibar ulipo Kiembe Samaki
HOTUBA YA MHE. MAKAMU WA PILI WA RAIS WA ZANZIBAR, BALOZI SEIF ALI IDDI KATIKA MKUTANO MKUU WA JUMUIYA YA WALIMU WAKUU WA SKULI ZA SEKONDARI TAREHE 18 DISEMBA 2013 LUMUMBA ZANZIBAR
Mheshimiwa Ali Juma Shamuhuna, Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali, Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa wa Mjini na Magharibi, Katibu Mkuu, Wizara ya ...
SMZ yawaomba wananchi kuheshimu mipaka
Wakati Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar inaendelea na jitihada za kuimarisha huduma za viwanja vya ndege viendane na hadhi ya Kimataifa ...
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Walimu Wakuu wa Skuli za Sekondari Zanzibar { JUWASEZA } Maalim Fadhil Hamada Mshamba akisoma risala kwenye mkutano Mkuu wa Jumuiya hiyo uliofunguliwa na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi hapo Skuli ya Sekondari ya Lumumba
New UBA chairman appointment highlights dynamic growth in African markets
United Bank for Africa (UBA), the pan-African financial services group in which investment company Heirs Holdings has a strategic interes...
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akisalimiana na akisalimiana na Waziri wa Sayansi, Utafiti na Ealimu wa Swisszerland Bwana Mauro Dell Ambrogio na ujumbe wake walipofika Ofisini kwake Vuga Mjini Zanzibar kwa mazungumzo
Smarter Policies Needed To End Needless Deaths of Migrants
For several years I have been saying that migration can be summed up by a series of D words: Demographics, Disasters, Demand, Disparities ...
It’s Time to Take Action and Save Lives of Migrants
The International Organization for Migration warns today that unless the international community takes decisive action to address the cau...
SMZ yaahidi kuendeleza mpango wa utafiti
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi alisema Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imekusudia kuweka kipaumbele katika kuen...
Walimu wanawajibu wa kuwa karibu na wazazi wa wanafunzi wao
Walimu Wakuu wa Skuli za Sekondari Nchini wanawajibu wa kuendelea kushirikiana zaidi na wazazi katika kuhakikisha ufaulu mkubwa wa wanafu...
Western Union’s PASS initiative reaches 250,000 pass milestone
PASS initiative turns every successful pass in the UEFA Europa League competition into funding for education, contributing to UNICEF’s eff...
New three-way partnership to tackle Africa’s infrastructure challenges
The BUILD Africa Forum will be held in Brazzaville, the Republic of the Congo, from the 5th to the 7th of February 2014 The BUILD Africa F...
AfDB gathers partners in Tunis to advance Sustainable Energy for All in Africa
Since its launch, more than 80 Governments from around the world have formally engaged with the initiative, with 42 African countries “opt...
Agribusiness set to boom in Africa
It is no secret that Africa is on the rise and increasingly offering lucrative opportunities to local businesses due to the continent’s st...