Guest of Honor for TWENDE 2011, Hon. Sophia Simba, Minister of Community development, Gender and Children give excited eye for one o...
Utalii Zanzibar
Biashara ya utalii kkwenye visiwa vya Zanzibar ni miongoni mwa vitega uchumi ambavyo kwa sasa sekta hii inaonekana kunawiri katika kil...
Maalim Seif: Awataka wananchi kujitokeza kwa wingi kujiandikisha kwenye vitambulisho vya taifa
Katibu Mkuu wa Chama Cha Wananchi CUF Maalim Seif Sharif Hamad ametoa wito kwa wananchi kujitokeza kwa wingi katika zoezi la uandikishaji w...
Mama Asha: Awataka wanawake wawe wavumilivu
Akinamama Nchini wamekumbushwa kuendelea kuwa wavumilivu ndani ya matukio ya uvunjifu wa amani Nchini yanayoonekana kujichomoza katika ba...
Balozi Seif: Asema jumuiya za chama cha CCM zinaweze zikakosa ufanisi kutokana na baadhi ya tabia za viongozi wa chama hicho
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM Balozi Seif Ali Iddi alisema Jumuiya za Chama Hicho zinaweza kukosa ufanisi kutok...
Mwalimu Seif apanga kukutana na waandishi wa habari
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad, kesho anatarajiwa kuzungumza na wahariri wa vyombo vya habari nchini juu y...
SMZ: Yatakiwa kukiimarisha kitengo cha viungo
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imeombwa kufanya juhudi za ziada katika kukiimarisha kitengo cha Viungo na Vilema Kiliopo katika Ho...