Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akiwa katika picha ya pamoja na Ujumbe wa Taasisi ya Kimataifa ya Mtandao wa Kibiashara unaoongozwa na Mkurugenzi Mtendaji wake Bibi Yichen Mao. Bibi Yicheni ni wa pili kutoka kulia aliyevaa Kanzu ya Chui
 Mkurugenzi Mkuu wa Kituo cha Kimataifa cha Maendleo ya Utalii jimboni Calirfonia Nchini Marekani Bwana Richard Soyomba akizungumza na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi seif hapo Ofisini kwake Vuga Mjini Zanzibar. Bw.Richard amekuja Nchini kufuatia ziara ya Balozi Seif aliyoifanya Nchini Marekani Mwishoni mwa Mwaka jana kuitangaza Zanzibar kwa Wawekezaji wa Marekani
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akimshukuru Balozi Mdogo wa China aliyepo Zanzibar Bibi Sheen Limun kufuatia Nchi yake kuendelea kuiunga Mkono Zanzibar katika harakati zake za maendeleo.

0 comments:

 
Top