Ni mara nyengine tana Mv Sea Gull ilyokuwa ikifanya safari zake kutoka katika kisiwa cha Pemba na Ugunja imeshindwa kufika kwa wakati, hii ni kutokana na kuharibika katika bahari ya Zanzibar inasemekana ilikiwa katika bahari ya Nungwi.
Hata hivyo taarifa zilizopatikana zilisema kwamba boto hiyo ambayo mara baada ya kuharibika ilichukuwa na upepo na kufikia karibu na mwambao wa bahari ya Tanga, wakati huo huo abiri wengine walikuwepo katika bandari ya Unguja wakiisubiri boti hiyo kwa ajili ya safari za kwenda Dar

0 comments:

 
Top