Maulid Hamad Maulid hatunaye tena
Aliyekuwa Rais wa Timu ya Taifa ya Jang'ombe (watetezi wang'ambo) ambaye pia ni Makamo Mwenyekiti wa TASWA Zanzibar amefariki dunia leo asubuhi katika hospital kuu ya Mnazi Mmoja, ambapo Marehemu Maulid mwili wake unatarajiwa kuzikwa kesho, Mungu ailaze mahala pema roho ya marehemu amin.
0 comments:
Post a Comment