Baadhi wa waendeshao vyombo vya moto wakiburura vipando vyao kuvuka eneo
la Kijito upele ambapo pamekuwa na tabia ya kujaa maji hasa wakti wa mvua za
masika
Sehemu ya kaskazini ya eneo la kijito upele ambalo linaonekana kujaa
maji kutokana na mvua za masika zilizoanza kwa kasi mwaka. Mvua hizo
zimeshasababisha kifo cha Mwanafunzi Naifat Abdulla Mrisho wa Skuli ya Kijito
upele aliyetumbukia kwenye mtaro unaopitisha maji hayo
0 comments:
Post a Comment