Nd.Mbaraka Juma Ali Pichani ambaye ni maazi wa Zanzibar anatafutwa na kituo cha Polisi Kisima majongoo, kwa tuhuma za wizi alioofanya tarehe  20 Mei 2012 siku ya Jumapili.
Wizi huo ulifanyika kwenye afisi za Zanzibar Press Plub na kuiba mali za klabu pamoja na rafiki yake ambaye ni  IS-HAKA OMAR RWEYEMAMU.
kwa mujibu wa Jeshi la Polisi mali hizo zinakadiriwa kuwa na thamani ya TSH.11,600,000 uliofanywa na kijana anayeitwa Mbaraka Juma Ali mkaazi wa Zanzibar,wizi huo ulifanyika katika mtaa wa Mchenzani block no.7  ngazi 4 ya ghorofa 3, vitu vilivyoibiwa ni:-
                                   1.Radio aina ya panasonic
                                   2.kompyuta aina laptop
                                   3.sanduku   la nguo
                                   4.passport ya kusafiria
                                   5.dvd player.
                                   6.cheti cha kuzaliwa
yoyote mwenye kujuwa taarifa za kijana huyu awasiliane na Mratbu wa Zanzibar Press Club, simu  0754 597169 au barua peperushi alanquterman@hotmail.com au zanpress@hotmail.com

0 comments:

 
Top