Mkurugenzi Mauzo Kimataifa wa Maonyesho ya biashara kutoka Nchini Uturuki { Meridyen International Fair Organisation Limited } Bwana Nuvit Becan akizungumza na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif azma ya Taasisi yake kutaka kufanya maonyesho ya Kibiashara Zanzibar.

0 comments:

 
Top