
Mafunzo hayo yamefadhiliwa na Idara ya Utamaduni ya Mayotte imeanza rasmi tarehe 7 mwezi huu na yanategemewa kumallizika terehe 25.10.2010, ambapo mafunzo hayo yataendeshwa na walimu Mohammed Issa"Matona",Rajab Suleiman, Mohammed Othman na Kesi Juma, ambapo walimu hao watafundisha jinsi ya kutumia (kupiga) Udi, Filda(Violin) na Qanun.
0 comments:
Post a Comment