Makamu Wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi alisema kasi ya uwekezaji nchini inaweza kuongezeka mara dufu iwapo wananchi wata...
No More Malaria
Malaria No More and Novartis launch Power of One, a global digital fundraising campaign to help eliminate malaria deaths • P...
USA and Sub-Saharan Africa will see increased trade growth, says DHL
DHL Express , the world’s leading courier and express company, believes that trade between the United States of America and Sub-Saharan A...
Ni kweli Airtel Yatosha
Ni muda sasa tangu kampuni ya Airtel kuweza kufanya kazi zako kutoka kwenye mikono asili ya TTCL, hatime CELTEL na sasa AIRTEL. Ingawa...
West Star yaibuka kidedea
Timu ya Soka ya West Star ya Shehia ya Kijiji cha Pangeni ndani ya Jimbo la Kitope Wilaya ya Kaskazini “B” imeibuka mshindi dhidi ya wapi...
Kaimu Meneja Mkuu wa Shirika la Umeme Zanzibar { ZECO} Thabit Salum Khamis akimuelezea Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif mfumo mpya wa huduma za umeme unaotumika katika kituo kikuu cha Umeme kilichopo Mtoni wakati alipofanya ziara ya kukagua maendeleo ya huduma za umeme Nchini
Wizara yashauriwa njia muwafa katika kuyapiga mnada majenereta yalipo Mtoni
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kupitia Wizara ya Ardhi, Makazi, Maji Nishati na Madini imeombwa kufikiria njia muwafaka ya kuyauza Maje...
Declaration of Intent for Joint Initiative on Youth Employment in Africa Signed in Addis Ababa
The Initiative is a response by the AUC, AfDB, UNECA and ILO to the call by African Heads of State and Government to tackle more decisi...
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Maji Zanzibar { ZAWA } Dr. Mustafa Ali Garu akimpatia maelezo Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi hatua zinazochukuliwa za ujenzi wa tangi la kuhifadhia maji safi liliopo machui chini ya ufadhili ya Benki ya Maendeleo ya Afrika { ADB }
Wizara yatakiwa kutoe elimu kwa jamii juu ya utunzaji wa vianzio vya maji Zanzibar
Wizara ya Ardhi, Makazi, Maji na Nishati Zanzibar imeagizwa kuendelea kutoa Elimu kwa Jamii juu ya umuhimu wa kutunza vianzio vya Maji il...
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Abdallah Mwinyi Khamis pamoja na viongozi wengine, wakati akiwasili nchini akitokea India kwa uchunguzi wa kawaida wa afya yake
Maalim Seif arejea nchini
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad, leo amewasili nchini akitokea India alikokwenda kwa ajili ya kufanyiwa uchu...
Wizara ya Mifugo yapanga kukifufua kituo cha upandishiaji wa ngombe Zanzibar
Wizara ya Mifugo na Uvuvi Zanzibar iko katika harakati za kukifufua upya Kituo cha kupandishia Ngombe kilichopo katika eneo la Maruh...
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM Balozi Seif Ali Iddi akikagua maendeleo ya Ujenzi wa Tawi Jipya la CCM la Kiomba Mvua akiongozana na Mwenyekiti wa Tawi hilo Bibi Zawadi Ali Suleiman
A billion persons with disabilities have rights
The blind Ethiopian human rights defender Yetnebersh Nigussie: "Women with disabilities are highly vulnerable” ...
Wanaccm wanahaki ya kuendelea na vikao vyao:Balozi
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama cha Mapinduzi Balozi Seif Ali Iddi alisema Viongozi na Wanachama wa CCM wanapasw...
Tanzania Poised to Transform National Energy Sector with Influx of Renewables
On September 12, the Republic of Tanzania received endorsement from the Climate Investment Funds (CIF) of an investment plan which will ...
Mkuu wa Chuo cha Dilpomasia Jijini Dar es salaam Balozi Dr. Mohammed Maundi yeye na ujumbe wake akibadilishana mawazo na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi juu ya mfumo wa kuanzisha mafunzo ya Uhusiano wa Kimataifa kwenye chuo cha Utumishi wa Umma Zanzibar
Chuo cha Utawala wa Umma Zanzibar chatarajia kuanzisha mafunzo ya Kidiplomasia
Uongozi wa Chuo cha Diplomasia Cha Jijini Dar es salaam umepongezwa kwa hatua zake zilizoanza kuzichukuza katika harakati za kusaidia Taa...
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akikata utepe ikiwa ni ishara ya kuzindua rasmi Chuo cha Ushoni cha wajasiri amali wa Kibweni kilichoanzishwa na Jumuiya ya Vijana wa Kibweni { Kibweni Yourth Organization - KYO } katika Mtaa wa Kwa Botoro Kibweni Jimbo la Bububu
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akipokea zawadi kutoka kwa Mwenyekiti wa Mamlaka ya Hifadhi ya kumbukumbu za Kitaifa za Oman Dk.t Hemed Mohammed Al-Dhawyani kwenye ufunguzi wa maonesho ya nyaraka ya kitaifa na kumbukumbu za Oman yaliyofanyika leo Sept 09-2013 katika ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es salaam
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif akimkabidhi zawadi Kipa Bora wa mashindano ya ujirani mwema ya Dr. Sheni Cup yaliyoandaliwa na Umoja wa Vijana wa CCM Jimbo la Nungwi
Kitamli yaibuka na ushindi
Hatimae Mabingwa wa Mashindano ya Ujirani mwema ya Dr. Sheni Cup yaliyoandaliwa na Umoja wa Vijana wa CCM Jimbo la Nungwi na kufadhiliwa n...
SMZ yapambana na matatizo ya ajira
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi alisema nia ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar ya kuanzisha Wizara inayosimamia ...
African Green Revolution Forum warns of severe finance gap in African agriculture
Green Revolution cannot materialise in Africa without a major concerted effort to secure financing for agricultural production The Afri...
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akiwa pamoja na Mmiliki wa Hoteli ya Sun Set Bungalows iliyoko katika Kijiji cha Kendwa Nungwi Abdullsamab Ahed Said akikagua athari iliyosababishwa na moto mkubwa uliyoyakumba baadhi ya majengo ya Hoteli hiyo juzi jioni
White Sand na Sun Set Bungalows zateketea kwa moto
Hasara ya zaidi ya Shilingi Bilioni Moja Nukta 2 imepatikana kufuatia kuungua kwa moto hoteli mbili za Kitalii za White Sand na Sun Set B...