Mjumbe wa Kamati ya Maridhiano Mansoor Yussuf Himid akizungumza katika mkutano wa hadhara wa CUF uliofanyika Kinyasini jimbo la Chaani
Mwenyekiti wa Kamati ya Maridhiano Mzee Hassan Nassor Moyo, akihutubia katika mkutano wa hadhara wa CUF uliofanyika Kinyasini, jimbo la Chaani
 Mjumbe wa Kamati ya Maridhiano maarufu Eddy Riyami akizungumza katika mkutano wa hadhara wa CUF uliofanyika Kinyasini jimbo la Chaani. (Picha na Salmin Said, OMKR)

0 comments:

 
Top