Tuesday, 4 June 2013

Mkurugenzi wa Idara ya Kinga Dr. Salhia Muhsin Ali akitoa maelezo mbele ya Kikao cha Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi na Wanafunzi wanaosoma mafunzo ya Udaktari katika Chuo cha Afya waliopo Wawi Kisiwani Pemba


No comments:

Post a Comment